swc_col_text_reg/03/15.txt

1 line
347 B
Plaintext

\v 15 Salama ya YEsu iwe kwenu kwa sababu mulichaguliwa kusudi mwishi kwa ile amani. \v 16 Neno la Kristo lidumu ndani yenu na utajiri wake wote, kwa hekima, mufundishane na kuonyana kwa zaburi na nyimbo za kiiroho. \v 17 Na kila kitu mutafanya, kwa neno na matendo; mufanye yote kwa jina la Bwana Yesu. Na mushukuru Mungu Baba kupitiya yeyé.