swc_col_text_reg/03/12.txt

1 line
289 B
Plaintext

\v 12 Muvae kama wachaguliwa wa Mungu, watakatifu na wapendwa, muwe na huruma, upole na unyenyekevu. \v 13 Muhurumiyane nyie kwa nyie. Mutendeyane mema nyie kwa nyie. Na kama mmonja wenu eko na shida na mwengine, musameyane kama Kristo alivyo wasamehe. \v 14 Zaidi ya yote muwe na mapendo.