swc_col_text_reg/03/05.txt

1 line
459 B
Plaintext

\v 5 Muuwe tamaa yenu yote ya mwili ya dunia, uzinifu, uchafu,mawazo na tamaa mbaya, kama mafundisho mubaya, mawazo mubaya tamaa , na ibada ya masanamu. \v 6 kwa sababu ya maneno kama hii njoo hasira ya Mungu inawaka juu ya wasiyo heshimu amri. \v 7 Nyie pia vile vile mulitembea hivi, wakati mulikwa naishi katika maneno haya. \v 8 Sasa munapashwa kutengana na maneno yote haya, hasira, mawazo mbaya, matukano na maneno yote mabaya yatgokayo kinywani mwenu.