swc_col_text_reg/03/01.txt

1 line
333 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Kama Mungu alimifufua pamoja na Kristo, tafuteni vitu vya juu, huko Kristo anakaa mkono wa kuume wa Mungu. \v 2 Muwe nawaza vitu vya mbinguni hapana vya dunia. \v 3 Maana mulikufa na uzima wenu umejificha na Kristo ndani ya Mungu. \v 4 Wakati Kristo aliye maisha yenu aataonekana, na nyinyi mutaonekana naye katika utukufu.