swc_col_text_reg/02/20.txt

1 line
418 B
Plaintext

\v 20 Kama mulikufa na Kristo, kwa sababu ya zambi, sababu gani kuendeleya kuishi tena katika sheriya ya dunia ya zambi ? \v 21 «Musikamate, musionje, musiguse!» \v 22 Vyote ni vtu vinavyo haribika wakati vinatumiwa, kufatana na mafundisho ya watu wa dunia. \v 23 Hii mafundisho inakuwa na hali ya hekima ya kidini, inatuma tutumikishe mwili wetu nguvu sana. Lakini haina hata heshima moja kuhusu mapenzi ya mwili.