swc_col_text_reg/02/18.txt

1 line
334 B
Plaintext

\v 18 Mutu asiwadanganye, kwa ku nyenyekvu wa wanafiki wala kwa ibada ya wamalaika, juu wanyanganye ushindi wenu. Kwa maana mutu wanamuna ile ni mwenye maonyo mbaya na mwenye kiburi cha mwili. \v 19 Watu wa namuna hii hawana mapatano na Yesu, kwa maana mwili muzima unajengwa na vyungo vyote vinaunga nishwa na kukomazwa na Mungu.