swc_col_text_reg/02/13.txt

1 line
390 B
Plaintext

\v 13 Wakati muli kuwa mumekufa kwa ajili ya zambi zenu na kwa sababu ya kutokutahiriwa, aliwaongoza ku njia ya uzima na kusamehe zambi zenu zote ku njia ya musalaba. \v 14 Alizimisha maamuzi ya madeni yetu yote yenye iliandikiwa kwa kutuhukumu. Aliiondowa na kuileteya haya kwa kuitpigiliya musalabani. \v 15 Aliondowa uwezo na nguvu, na kuifezelesha kupitiya musalaba mbele ya watu.