swc_col_text_reg/02/10.txt

1 line
299 B
Plaintext

\v 10 Munajazwa na utukufu kwake, ni yeye aliye mkuu mwenye nguvu na mamlaka yote. \v 11 Kwake mulitahiriwa, siyo na watu katika mwili, lakini kutahiriwa na Kristo. \v 12 Mulizikwa pamoja naye kupitia ubatizo, na mulifufuka naye kwa imani, katika nguvu ambayo Mungu alimufufua nayo Kristo toka wafu.