swc_col_text_reg/02/08.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 8 Angalieni, mutu asiwadanganye kwa elimu yake ya uwongo na ya udanganyifu kutoka kuasili ya watu, yenye haifanane na amri ya Kristo. \v 9 Kwa sababu ndani yake ukumilifu wa Mungu unaishi .