swc_col_text_reg/02/04.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 4 Namwambia hivi kusudi mutu asiwadanganye na maneno ya uwongo. \v 5 Hata kama kimwili hatuko pamoja lakini kiroho tuko pamoja. Ninafurahi kuona utaratibu wenu na imani yenu katika Kristo