swc_col_text_reg/02/01.txt

1 line
304 B
Plaintext

\c 2 \v 1 Napenda mutambuwe yakama vita ninayo pigana juu yenu ni kubwa sana,kwa walaodisia na kwa wengine wenye hawajaniona. \v 2 Natumika kusudi Roho yao ijazwe na nguvu sababu wanakutana katika ukweli wa siri iliyo dani ya upendo wa Mungu. \v 3 Katika Kristo, utajiri, hekima na akili vimejificha.