Sat Aug 29 2020 22:10:52 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)
This commit is contained in:
parent
0fc6394116
commit
4add03044c
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 21 Zamani mulukua wageni kwa Mungu na wadui ya Mungu kwa akili mubaya na, matendo mubaya. \v 22 Sasa ana wapatanisha kupitia kufo kwake kupitia mwili yake anawafanya mukuwe watakatifu pasipo koja mbele yake. \v 23 Kama mukiishi kwa imani nakuji kaza muki dumu katika neno. Wala mutu asiwa danganye, mutiye tumaini yenu kwa baraka enye Mungu ana wetenge, kupita kupitia abari enye mulisikia. Kwa sababu mimi Paulo Mungu anani shagua kwa mtume wake.
|
||||
\v 21 Nyinyi pia wakati mmoja mulikuwa wageni na adui wa Mungu, kwa mawazo na matendo yenu mbaya. \v 22 Sasa kupitiya kifo chake anawapatanisha na mwili wake. Alifanya hivi kusudi muwe watakatifu, wasiyokuwa na dowa wala hatiya mbele yake. \v 23 Muwe na misingi katika imani na musitingizike, na musitoke katika tumaini mulilo nalo katika habari njema luliyo sikiya. Na ni hii habari njema ilyo hubiriwa kwa watu wote duniani. Na kupitiya hii habari njema njo mimi Paulo ninakuwa mutumishi.
|
Loading…
Reference in New Issue