swc_act_text_reg_Uncomplete/13/32.txt

1 line
358 B
Plaintext

\v 32 Hivi tu nawa leteyaa habari ngema la ahadi iliyo wa pewa kambo zetu. \v 33 Mungu aliweka ahadi iyi kwetu, batoto yabo, ndani yayo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katina uhai:ime andikwa katika zaburi: uka mtoto yangu nakuzala leo. \v 34 Tena kwa kumfufua toka wafu juu ya mwili yake usiaribike, anasema ivi nitakupatiya utakatifu na banaka ya DAwidi.