swc_act_text_reg_Uncomplete/13/23.txt

1 line
352 B
Plaintext

\v 23 Mu kizazi yake kufuatana na masemo yake mungu ana leta makozi wa Israeli Yesu, \v 24 Mbele ya kuzalika kwa Yesu, ikafanyika, Yoane aki ubini watu wa Israeli kubadirika kwa myoyo sababu ya ubatizo. \v 25 Kwa kumaliza kazi lake Yoane akasema, lakini munielewe, kisha mimi, moja eko myuma yangu si stahili ata kulekesha kamba ya viatu yake ku miguu.