swc_act_text_reg_Uncomplete/13/16.txt

1 line
374 B
Plaintext

\v 16 Paulo akalamusha mukono na kusimama na kusema: "watu wa Israeli na ninyi wenye kuesimu Mungu musikiye. \v 17 Mungu ya watu wa Israeli ali changuwa wa kambo yetu kuwakuisha wengi wakati walikuwa ndani ya udongo wa misri akanyolosha mokono wake na kuwatosha kule. \v 18 Myaka makuni ine, aka waongoza ma jangwa. Muda karibu myaka makumi ine aka wa linda ndani ya jangwa.