swc_act_text_reg_Uncomplete/13/13.txt

1 line
417 B
Plaintext

\v 13 Paulo na nafiki zake wakasafini pa mayi toka Pafo na kufika Pamfilia. Lakini Yoane aka waacha na kurudi Yeruzalema. \v 14 Paulo na wezake wakasafiri toka perge na kufika Antiakia Pisidia. Kule waka ingiya siku ya sababo ndani ya shirika na kwikala. \v 15 Kisha kusoma mikanda ya Sheria na wa nabii, biongozi ya shirika wa kawatumiya ujumba na kusema: ndugu kama muko na ujumbe ya kuleta nguvu kwa watu mui seme.