\v 4 Kwa iyo Barnaba na Saulo waka tii roho mutakatifu na wakashukiya Seleukia. Toka pale bakatelemukiya kwa kisanga ya Kipro. \v 5 Kufika mujini Salami wakatangaza neno la Mungu ndani la Shirika ya wayuda. Walikuwa na Yoane Marko kama msaidizi.