swc_act_text_reg_Uncomplete/17/32.txt

1 line
316 B
Plaintext

\v 32 Wakati batu ya Antena bali mu sikkia kusema juu ya ufufuko ya wafu balimuzarau Paulo, kumbi bengine balusema tu na kusikia husema wara ingine tena". \v 33 Hiisha Paulo akawaacha. \v 34 Lakini batu bengine balimufwata ma bakaamini, pamoja Dnio mtu wa Aropage na mwanamuke moya anaitwa Damaria na wengine pamoja.