swc_act_text_reg_Uncomplete/17/19.txt

1 line
329 B
Plaintext

\v 19 Waka mukamata Paulo na baka mupeleka kwqa Areopage bakisema "utu ambie hii mafundisho gani enye uko na fundisha?" \v 20 Juu uho na sema ma neno enye atuya sikiaka, na hii mambo ina amanisha nini? \v 21 Kumbi batu yote benye balikua na hishi ku Atenia na wageni bakuwa na ponda muda yaba kwa ku sema na kusikia habari njena.