swc_act_text_reg_Uncomplete/17/16.txt

1 line
244 B
Plaintext

\v 16 Wakati alibasuburi ku Athene, Roho yake ilisilika sababu mungini iliya na na masanamu sana. \v 17 Njoo maana aliba simamia nani ya shirika na bayuda pia bale benye balikua ma omba Mungu pale pamoja na bale bahubiri ya fasi yote kila siku.