swc_act_text_reg_Uncomplete/17/13.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 13 Wakati ba yuda ya Tesalonika balisikua kama bayuda ya Beree Paulo alibaubiri neno la Mungu balienda kusirikisha batu. \v 14 MAra moja bandugu bilimutuma Paulo ku bahari juu avi chame lakini sila na tunote bali bakia pale. \v 15 Bale benye bali musindikiza Paulo, aliba ponyeshe ginsi gani ina omba Sila na Timoteo bamukute mbiyo ku Athene.