swc_act_text_reg/26/09.txt

1 line
401 B
Plaintext

\v 9 Kwa wakati moja nili waza kama naweza kufanya mambo mingi kuzuwiya jina ya Yesu wa Nazareti. Nili bifanya mu Yerusalemu. \v 10 Nili tupa baminifu mingi ndani ya gereza, kwa oda ya ma kuhani wakubwa, na wakati bana ba uwa siku kuwa ngambo yabo. \v 11 Nili ba azibu mara mingi ndani ya ma shirika na nili pima ku bakaza ba mu kufiru mungu nili basirikiya sana na ku ba tesa mpaka mitaa ya sio yetu.