swc_act_text_reg/16/19.txt

1 line
425 B
Plaintext

\v 19 Halafu wabwana wa yule mujakazi wakaona kwamba hawataweza tena kupata mali kutoka kwa yule aliyekuwa kitumaini chao. Kwa hiyo wakakamata Paulo na Sila, wakawakokota na kuwapeleka mbele ya wakubwa kwenye nafasi ya makutano. \v 20 Walipowafikisha kwa watawala wa Waroma, wakasema: “Watu hawa ni Wayuda, nao wanaleta fujo katika mji wetu. \v 21 Wanafundisha desturi ambazo sisi Waroma tunakatazwa kukubali na kufuata.”