swc_act_text_reg/27/30.txt

1 line
390 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 30 Wabaharia walitafuta kukimbia toka ndani ya chombo, wakashusha mutumbwi katika bahari, wakisema kwamba wanataka kufunga nanga tokea upande wa mbele. \v 31 Lakini Paulo akamwambia yule mkubwa wa jeshi pamoja na waaskari wengine: “Watu hawa wasipobakia ndani ya chombo hamutaokolewa.” \v 32 Halafu waaskari wakakata kamba zilizofunga ule mutumbwi na kuachilia uanguke katika bahari.