swc_act_text_reg/07/04.txt

1 line
313 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 4 Akato ku inchiza Ukaldayo akaenda kubakuya ku Haranio, kiisha kufa kwa baba yake, Mungu akamleta ku inchi muko na yo ua. \v 5 Hakumpatiaka hata kitu moja, hata nafasi ya kutia miguu lakini akampatia tumaini, hata vile Abrayama akukuwa na mtoto uyu anaweza kumpatia inchi ya kuikalia, ata kizazi, kiisha yeye.