Sun Oct 11 2020 20:24:43 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)
This commit is contained in:
parent
d63c9e60d9
commit
9d160219ee
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 16 \v 18 Uepuke masemi yasiyokuwa na maana na ya kidunia, kwa maana wale wanaoyafuata wanazidi kupotoka katika ibada ya uongo. 17 \v 17 Maneno yao yanaambukiza kama vile kidonda chenye kuoza kinavyoharibu mwili wote. Kati yao kuna Himeneo na Fileto. 18 Hao wamepotoka mbali na ukweli, wamepotosha imani ya watu wengi wakisema kwamba ufufuko tunaongojea umekwisha kufanyika.
|
||||
\v 16 Uepuke masemi yasiyokuwa na maana na ya kidunia, kwa maana wale wanaoyafuata wanazidi kupotoka katika ibada ya uongo. \v 17 Maneno yao yanaambukiza kama vile kidonda chenye kuoza kinavyoharibu mwili wote. Kati yao kuna Himeneo na Fileto. \v 18 Hao wamepotoka mbali na ukweli, wamepotosha imani ya watu wengi wakisema kwamba ufufuko tunaongojea umekwisha kufanyika.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 19 19 Lakini musingi uliojengwa na Mungu, unasimama imara. Nayo maneno haya yamechapwa juu ya musingi ule Bwana anajua wale wanaokuwa wake, na haya mengine: «Kila mtu anayesema kwamba yeye ni wa Bwana anapaswa kujitenga na maovu.» \v 20 Ndani ya nyumba kubwa, hamuna vyombo vya zahabu na feza tu, lakini muko vilevile vyombo vya miti na vya udongo. Vimoja ni vya matumizi ya kipekee na vingine ni vya matumizi ya kawaida. \v 21 Basi kama mtu atajitakasa kwa kujitenga na maovu hayo yote atakuwa chombo cha matumizi ya kipekee, kitakatifu cha mwenye nyumba na chenye mafaa kwake na kuwa tayari kwa kila kazi njema.
|
|
@ -50,6 +50,8 @@
|
|||
"02-08",
|
||||
"02-11",
|
||||
"02-14",
|
||||
"02-16",
|
||||
"02-19",
|
||||
"03-title",
|
||||
"03-01",
|
||||
"03-05",
|
||||
|
|
Loading…
Reference in New Issue