swc_1ti_text_reg_Uncomplete/01/18.txt

1 line
357 B
Plaintext

\v 18 Nime tia iyi sheria mbele yako, Timoteo, mtoto wangu. Nilifanya ibi kulingana na unabii yenye iliseme kwa ajili yako, ju upate ku jitia ndani ya nvita. \v 19 Fanya ibi ju ukuwe na imani na zamiri safi. Batu bengine balii tupa na kuhanguka mu imani. \v 20 Na njo kuka himenoyo na Alexandra benye nili tupa kwa shetani ju ba jifunze kuto kutukana Mungu.