swc_1ti_text_reg_Uncomplete/01/09.txt

1 line
501 B
Plaintext

\v 9 Na tuna ju wa tena ivi, sheria abakuifanya ju mwenye haki, lakini ju ya benye abaeshimia sheria, na ba chafu na batu ya bambi, ba sia kupenda Mungu na bale abajuwi kitu. Baliifanya ju ya bale bana uluwa baba yabo na mama yabo, ju ya bawuwaji. \v 10 Na basharitii, benye bana funga batu ju yaku bafanya batumwa, na basema bongo, na ba ushuuda ba bongo, na maneno yote yenye ikombalina mafundisho ya uzima. \v 11 Na ii ma fundisho ina fwatana na injili ya mahana kwa Mungu yenye miliwekwa muongozi.