swc_1ti_text_reg/04/14.txt

1 line
305 B
Plaintext

\v 14 Usizarau kipaji uko kayo na yenye ulipata ku pitilia unabii na kutiliwa mikono na waze. \v 15 Ujitie mu iyi bitu, dumu ndani yao, ju mahendeo yako ionekane na batu bote. \v 16 Ufanye analisho ju yako mwenyewe, ju kwa kufanya iv, uta ji okowa weye mwenyewe piua uta okowa bale benye biko na kusikiya.