swc_1ti_text_reg/06/20.txt

1 line
236 B
Plaintext

\v 20 Timoteo, linda yenye balikupatia ujiepushe na masemo ya mubaya naaongezi ya kubisha na bishana kuhusu yenye munaita kwa makasa elimu . \v 21 Batu bengine bana sema haya mambo na baaenda mbali na imani . Neema ikuwe pa moja na nyi.