swc_1ti_text_reg/06/17.txt

1 line
343 B
Plaintext

\v 17 Uambie batajiri ya hiyi dunia basijivu nie, na basitie kitumaini yabo ku mamali yabo yenye haiko sawa kwa sababu haiko ya milele. \v 18 Ubaambie batende mema; bakuwe batazari ya matendo mazuri, bakuwe tayari kutoa mali yabo bashiri kiane na bengine kwa roho. \v 19 Kwa hiyo, batajiwekea akuba kwa muda utakuya ju bapate maisha ya milele.