swc_1ti_text_reg/06/09.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 9 Lakini benye banapenda bapata bitu nungi bataangukuku majaribu, na mutego, na tamaa yenye haina maana, na yenye kundhuru na yote yenye inabeba batu katika upotevu na uharibifu. \v 10 Kwa sababu mapendo ya makuta mingi ni miziti ya ubaya yote . Bamaya benye balipenda pesa sana balipotea mbali na imani na banajiingiza benyewe katika magumu.