swc_1ti_text_reg/06/03.txt

1 line
449 B
Plaintext

\v 3 Tusema kama mutu moya anafundisha tufauti, kwa maana maneno ya mfalme Yesu Kristo. Tusema kama huyu mutu anakatala mafundisho yenye kupeleka kwa Mungu. \v 4 Huyu mutu anajivuna na hajuwe kitu ziili ya iko na magonjwa ya kubishana kuhusu haya mambo . Mambo haya inatoka kwa kuta maania matusi na mawazo mubaya \v 5 . Kotokusikiliana ya batu benye banaharibika akili yabo banageuzia ukweli mugongo na bakawaza kama utauwa nyo nga ya kupota faida.