swc_1ti_text_reg/04/01.txt

1 line
935 B
Plaintext

\c 4 \v 1 Lakini roho a na sema wazi kama wakati wa mwisho, batu bengene bata sitenga na imani ju ya kutatana na roho wongo, na mafundisho ya shetani. \v 2 Kupitia unafiki ya bongo na kudanganya. \v 3 Na bata kataza batu batu kuwawa na kukula chakula yenye Mungu aliwumba ju tu yikule na shukurani kubua ndani ya benye kuamini na kupata kweli. \v 4 Kwa sababu yote yenye ili wumbwa na Mungu ni ya muzuri, tena akuwa yenye tu na kula na ushuuda wa shukurani bata itupa, \v 5 Kwa sababu yote imetaka ziwa na neno la Mungu pia na mahombi. \v 6 Na ukifundisha ii bitu kwa bandugu, uta kuwa mtimishi muzuri wa Yesu Kristo, mwenye ali kula neno la imani na mafundisho muzuri ulipata. \v 7 Lakini utupe bienye abina malaka ile ba mama ba kubwa bana penda, lakini uju weke sana ndani ya kupenda utauwa. \v 8 Sababu uowezi ya mwili niya muimu mubitu kidogo, lakini utauwa ni ya mahana kwa yote, tena ina haadi ya uzima wa sasa na uzima ia kuya.