swc_1ti_text_reg/03/11.txt

1 line
374 B
Plaintext

\v 11 Na bana mke vile vile, ina balomba bakuwe na tabiya muzuri. Basikuwe baku sema mingi bakuwe baminifu na benye haki ku maneno yoye. \v 12 Naba shemachi ina balomba bakuwe ba bwana wa bibi moya. Ina balomba kuongoza mzuri batoto yabo na jana mzima. \v 13 Kwa sababu bale bana ongoza muzuri, bana pata fasi ya eshima na kukubaliwa sana ndani ya imani katika Yesu Kristo.