swc_1ti_text_reg/02/13.txt

1 line
269 B
Plaintext

\v 13 Ju Adama aliumbwa mbele, kisha ewa. \v 14 Natena ayiko Adama mwenye alianguka, lakini mwana mke njo alidanga nya, na ku vunja sheria. \v 15 Lakini, ata kuwa ameokolewa kama ana zala ba toto, kama dumu ndani ya imani, na upendo pa moja na utakasa na mawazo muzuri.