swc_1ti_text_reg/02/08.txt

1 line
346 B
Plaintext

\v 8 Napenda batu balombe kuna fali yote, na kuhinuwa mikono takatifu bila bisirani na bila mabishano. \v 9 Natena, napenda bana muke bavale na eshima, adabu na ku juwa ku ju zuwiza. Isi kuwe ju ya ku shuka nyele, ao zahabu, ma buchanga, wala ma nguo ya bei kali, \v 10 Lakini bavale na ile inastahili nabanamke benye bana one sha ku ogopa Mungu.