swc_1ti_text_reg/01/15.txt

1 line
449 B
Plaintext

\v 15 Neno hii ya maana na ya minifu kuyikubali, aseme Yesu Kristo alikuya muduniya ju ya kuokowa benye zambi niko zayidi ya aba bote. \v 16 Lakini ju yahii nilipata rema, ju kupia miye kwanza, Kristo Yesu aonyenshe uvumilivu yake yote. Ali fanya ile ikuwe mufano kwabale bata nuhamini ju ya uzima wa milele. \v 17 Kwa sasa, kwa mfalme wa milele, mwenye akufake, nwenye aonekanake, ni Mungu moya, apokeye sifa na utukufu kwa milele na milele. Amina.