swc_1ti_text_reg/01/12.txt

1 line
343 B
Plaintext

\v 12 Namu shukuru YesuKristo Bwana wetu. Ali nitia nguvu, ju alinikuta mwaminifu na akanitia ndani ya kazi. \v 13 Nili kuwa mwenye kutukana neno, na muwuwaji, na mtu mukali. Lakini nili pata nehema ju nili kuwa na fanya bila kujuwa na moyo mugumu. \v 14 Lakini nehema ya bwana wetu ili zidi ndani ya imani na upendo yenye iko kwa Yesu Kristo.