swc_1ti_text_reg/01/05.txt

1 line
378 B
Plaintext

\v 5 Sasa mahana ya amri ni upendo yenye inatoka mu roho safi, na zamiri muzuri na imani ya kweli. \v 6 Na batu bengine balipoteza ii bitu na baka gewuka ku bitu ya bila maana ya kusema sema. \v 7 Bana penda bakuwe ba mwalimu ya Sheria, lakini abajuwi ye nye biko na sema ao kwa nini biko na kazia. \v 8 Lakini sisi tuna juwa kama sheria ni muzuri, kama tu na bitu mikia bizuri.