swc_1ti_text_reg/01/03.txt

1 line
336 B
Plaintext

\v 3 Gisi balinitumana kwa nguvu ku fanya mbele ya kwend ku Makedonia, ubakiye katika Efeso, ju upate kusema na batu bengine basi fundishe ma funzo ingine tafawuti. \v 4 Na usia ngalie muna hadizi na maneno ya bizazi benye abina mwicho ibi bina leta kutoku sikizana (fudjo) kuliko kwenda mbele na mahamuzi ya Mungu, ye nye iko mu imani.