1 line
211 B
Plaintext
1 line
211 B
Plaintext
|
\c 5 \v 1 Usimukemee (kuwamakia) Mzee. Laki umakamate kama baba yake. Ukamate biyana kama bandugu yako. \v 2 Ukamate bana bake bazee kama bamama yako, na benye biko biyana mubaone kama ba dada yako na usafiyote.
|