swc_1jn_text_reg/03/13.txt

1 line
298 B
Plaintext

\v 13 Usi shangale ndugu kama dunia ima kutshukiya. \v 14 Tuna djuwa kama kufo mpaka ku uzima , sababu tu na pendaka ba ndugu. Ule ana upendo ndani yake ana ishi ndani ya benye bana kufa. \v 15 Ule yote mwenye ata tshukiya ndugu yake ni mu uwaji na muna djuwa kama maisha ya milele ndani ya muuaji.