swc_1co_text_reg/15/20.txt

1 line
210 B
Plaintext

\v 20 Lakini, kwa hakika Kristo amefufuka na hii inahakikisha kwamba wale waliokufa watafufuliwa vilevile. \v 21 Kwa maana, kama vile kifo kililetwa na mtu mmoja, vilevile ufufuko wa wafu unaletwa na mtu mmoja.