swc_1co_text_reg/15/01.txt

1 line
256 B
Plaintext

\c 15 \v 1 Wandugu zangu, sasa ninataka kuwakumbusha Habari Njema niliyowatangazia, ile muliyopokea na kuishika imara. \v 2 Nanyi kwa njia ya habari hiyo munaokolewa, ikiwa munaishika kufuatana na maneno niliyowahubiri. Kama isipokuwa hivi, muliamini bure.