Mon Oct 12 2020 19:36:11 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-12 19:36:12 +01:00
parent 786291f917
commit 6e8ba44a71
5 changed files with 9 additions and 1 deletions

1
11/17.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 17 Kuelekea maonyo yanayofuata, mimi siwasifu. Kwa maana munapokusanyika, mikutano yenu haiwafalii, lakini inawaletea hasara. \v 18 Kwanza, ninasikia kwamba munapokusanyika kuna matengano katikati yenu, nami ninasadiki kwamba nusu ya maneno yale ni ya kweli. \v 19 (Inafaa kuwe matengano kati yenu, kusudi wale wanaokuwa waaminifu wa kweli kati yenu wajulikane.)

1
11/20.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 20 Munapokusanyika hamukuli karamu ya Bwana. \v 21 Kwa maana munapokula, kila mmoja anajiharikisha kula chakula chake mwenyewe, hivi wamoja wenu wanasikia njaa na wengine wanalewa. \v 22 Basi, ninyi hamuna nyumba munamoweza kukulia na kukunywea? Au munazarau kanisa la Mungu na munataka kuwapatisha haya wale wasiokuwa na kitu? Munataka niwaambie ninyi nini? Inafaa niwasifu? Hapana, siwezi kuwasifu hata kidogo juu ya jambo hilo!

1
11/23.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 23 Kwa maana haya ndiyo mafundisho niliyopokea kutoka kwa Bwana, nami niliyotoa kwenu: katika usiku ule Bwana Yesu alipotolewa, alitwaa mukate, \v 24 na alipokwisha kumushukuru Mungu, akaumega akisema: «Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu. Mufanye hivi kwa kunikumbuka.

1
11/25.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
25 Vilevile, nyuma ya kula akatwaa kikombe na kusema: “Kikombe hiki ni agano jipya la Mungu, linalohakikishwa kwa njia ya damu yangu. Mufanye hivi kwa kunikumbuka kila mara munapokikunywa.”» 26 Kwa sababu kila mara munapokula mukate huu na kunywa kikombe hiki, munatangaza kufa kwa Bwana mpaka atakapokuja. 27 Basi kila mtu anayekula mukate wa Bwana au kunywa kikombe chake bila kustahili, anafanya zambi akikosea mwili na damu ya Bwana. 28 Basi kila mtu ajichunguze mwenyewe na kisha akule mukate huu na kunywa kikombe hiki. 29 Kwa maana mtu akikula mukate na kunywa kikombe pasipo kutambua maana ya mwili wa Bwana, anajiletea azabu yeye mwenyewe kwa kula na kunywa. 30 Na kwa sababu hii wengi kati yenu ni wagonjwa na wazaifu, na wengi wamekufa. 31 Lakini tungejichunguza sisi wenyewe kwanza, hatungehukumiwa na Mungu. 32 Lakini tunahukumiwa na kuazibiwa na Bwana kusudi tusiazibiwe pamoja na watu wa dunia hii. 33 Kwa hiyo wandugu zangu, wakati munapokusanyika kwa kula karamu ya Bwana, sherti mungojeane. 34 Kama mtu akiwa na njaa, akule katika nyumba yake, kusudi musikusanyike kwa kujiletea azabu. Basi maneno mengine yanayobaki nitayatengeneza wakati nitakapofika kwenu.

View File

@ -151,6 +151,10 @@
"11-05",
"11-07",
"11-09",
"11-11"
"11-11",
"11-13",
"11-17",
"11-20",
"11-23"
]
}