Mon Oct 12 2020 20:36:13 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-12 20:36:14 +01:00
parent 3f4f310b3d
commit 0685739f31
4 changed files with 11 additions and 1 deletions

1
16/01.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\c 16 \v 1 Sasa juu ya muchango unaofanyika kwa ajili ya watu watakatifu wa Mungu wanaokuwa Yerusalema; ninyi vilevile mufanye sawa vile nilivyoagiza makanisa ya Galatia. \v 2 Kila siku ya kwanza ya juma, kila mmoja wenu anapaswa kuweka akiba ya mali kwake, kwa kadiri ya mapato yake, kusudi musihitaji kufanya muchango wakati nitakapokuja.

1
16/03.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 3 Nami nitakapofika, nitatuma watu mutakaochagua, pamoja na barua kwa kupeleka zawadi yenu Yerusalema. \v 4 Ikiwa ni lazima mimi niende vilevile, basi nitasafiri pamoja nao.

6
16/05.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1,6 @@
5 Nitakuja kwenu kisha kupitia Makedonia kufuatana na mupango wangu wa kupitia kule. 6 Labda nitabakia pamoja nanyi muda kidogo, au tena wakati wote wa mvua kali; kusudi muweze kunisaidia kuendelea pahali popote nitakapokwenda. 7 Kwa maana sitaki kuonana nanyi kwa kupita tu. Ninatumaini kukaa pamoja nanyi siku chache Bwana akitaka. 8 Lakini, ninataka kubakia hapa Efeso, mpaka siku ya Pentekoste. 9 Kwa maana mulango moja umefunguliwa, nimepata hapa wakati mzuri wa kufanya kazi kubwa ijapokuwa wapinzani ni wengi.
10 Kama Timoteo akifika, mujikaze kumupokea vizuri kati yenu kwa sababu yeye anafanya kazi ya Bwana kama mimi mwenyewe. 11 Basi hata mtu mmoja asimuzarau. Lakini mumusaidie aendelee na safari yake katika amani; kusudi apate kurudia kwangu, maana ninamungojea yeye pamoja na wandugu waamini.
12 Kwa ngambo ya ndugu yetu Apolo, nimemusihi sana akuje kwenu pamoja na wandugu wengine, lakini hakutaka kabisa kwenda sasa; atakwenda kwa wakati utakaomupendeza. 13 Mukeshe, musimame imara katika imani, mukuwe hodari na wenye nguvu. 14 Mutende mambo yenu yote katika upendo.
15 Ninyi munajua Stefana na jamaa yake; munafahamu kwamba walikuwa watu wa kwanza walioamini katika inchi ya Akaya, nao wamejitoa kwa kutumikia watu wa Mungu. Hivi ninawasihi sana wandugu zangu, 16 mukubali kuongozwa na watu kama hawa na wale wote wanaotumika na bidii pamoja nao. 17 Nami ninafurahi kwa kufika kwa Stefana, Fortunato na Akaiko; wamekuwa kwa pahali penu, 18 nao wamenifariji kama vile walivyowafariji ninyi wenyewe. Inafaa kuwakumbuka watu kama hawa.
19 Makanisa ya jimbo la Azia yanawasalimia. Akila na Prisila pamoja na kanisa linalokusanyika ndani ya nyumba yao wanawasalimia sana katika Bwana. 20 Wandugu wote wanaokuwa hapa wanawasalimia. Na ninyi vilevile musalimiane kwa upendo wa kikristo. 21 Hii ni salamu ninayoiandika kwa mukono wangu mimi Paulo mwenyewe. 22 Kama mtu hamupendi Bwana, alaaniwe!
Bwana wetu, kujaa! 23 Neema ya Bwana Yesu ikuwe pamoja nanyi. 24 Ninawapenda ninyi wote katika kuungana na Yesu Kristo.

View File

@ -221,6 +221,8 @@
"15-54",
"15-56",
"15-58",
"16-title"
"16-title",
"16-01",
"16-03"
]
}