swc_1co_text_reg/06/04.txt

1 line
361 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 4 Basi ikiwa muna magomvi juu ya mambo ya namna hii, kwa nini munayapeleka mbele ya waamuzi wasiokuwa na madaraka katika kanisa? \v 5 Ninasema hivi kwa kuwapatisha haya. Hakika kati yenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima anayeweza kukata maneno kati ya wandugu zake waamini? \v 6 Lakini sasa ndugu mwamini anamushitaki mwenzake mbele ya waamuzi wasioamini.