sw_rom_text_ulb/04/09.txt

1 line
303 B
Plaintext

\v 9 Basi je baraka hizi ni kwa wale waliotahiriwa tu, au pia kwa wale wasiotahiriwa? Kwa maana twasema, "kwa Abrahamu imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki." \v 10 Hivyo ilihesabiwaje basi? Wakati Abrahamu alikuwa katika tohara, au kabla hajatahiriwa? Haikuwa katika kutahiriwa, bali katika kutotahiriwa.