sw_rom_text_ulb/04/01.txt

1 line
294 B
Plaintext

\v 1 Tutasema nini tena kwamba Abrahamu, baba yetu kwa jinsi ya mwili, amepatikana? \v 2 Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, angekuwa na sababu ya kujisifu, lakini si mbele za Mungu. \v 3 Kwani maandiko yanasemaje? "Abrahamu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki."